Al-Mahmoudi kurejeshwa nyumbani-Libya
Aliyekuwa waziri mkuu wa Libya Al-Baghdadi al-Mahmoudi |
"Si uamuzi wa haki, ni uamuzi wa
kisiasa," wakili wake, Mabrouk Korchid, aliambia shirika la habari la
Reuters.
Ombi la kurejeshwa nyumbani Libya liliwasilishwa na
serikali mpya ya Libya, Baraza la Kitaifa la Mpito (NTC).
Bwana Mahmoudi ameelezea wasiwasi kuhusu usalama
wake iwapo atasafirishwa hadi Libya.
Bwana Korchid, pia aliteta kuhusu hatua hiyo,
akisema: "kama atapata matatizo yoyote nchini Libya, mfumo wa sheria wa
Tunisia utakuwa umechangia katika matatizo hayo."
Bwana Mahmoudi, amekuwa waziri mkuu hadi pale
Kanali Muammar Gaddafi, alipoondolewa madarakani mapema mwaka huu.
Mwezi Septemba alizuiliwa katika eneo la Tamaghza,
Kusini mwa Tunisia, karibu na mpaka wa Algeria.
Alihukumiwa kifungo cha miezi sita gerezani kwa
kuingia nchini humo kinyume cha sheria, uamuzi ambao ulibatilishwa baada ya
kukata rufaa.
Hata hivyo, Bwana Mahmoudi baadaye alizuiliwa
katika gereza karibu na mji wa Tunis akisubiri uamuzi juu ya ombi la kutaka
yeye arejeshwe nyumbani, shirika la habari la AFP limeripoti.
Mwezi Agosti, Tunisia ilitambua rasmi NTC kama
serikali ya Libya na imethibitisha kushirikiana nao katika masuala ya
kiusalama.
Chanzo: BBC
Tetemeko la ardhi laporomosha hoteli
Chanzo: BBC
Tetemeko la ardhi laporomosha hoteli
Waokowaji wakitafuta manusura |
Waokozi wanajaribu kuwaokoa manusura
waliokwama katika vifusi vya majengo baada ya tetemeko la ardhi la kipimo cha
5.7 kukumba mji wa Van, kaskazini mwa nchi ya Uturuki.
Majengo kadhaa yameporomoka wakati tetemeko hilo
liligonga, ikiwemo hoteli moja la ghorafa sita.
Takriban wafanyakazi 100 wa kutoa misaada na
waandishi wa habari wanaaminika walikuwa wanaishi katika hoteli hiyo.
Waandishi hao walikuwa katika eneo hilo kwa sababu
ya tetemeko lingine lililokumba eneo hilo wiki mbili zilizopita, ambapo watu
wasiopungua 500 walikufa.
Baadhi ya waandishi waliokwama wamekuwa wakituma
ujumbe mfupi wa simu ya mkononi wakiomba usaidizi.
Akizungumza na BBC mbunge wa Uturuki, Nasmi Guhr,
amasema '' Takriban majengo mengine 40 yameporomoka mjini Van na makundi ya
waokozi wanajaribu kuokoa waliokwama''.
Picha za Televisheni kutoka Van zinaonyesha wakazi
na waokozi wakijaribu kuinua vifusi ili kuwaondoa watu waliokwama katika
majengo yaliyoporomoka.
Baadhi ya waandishi wa habari waliokwama katika
majengo hayo wametuma ujumbe kupitia simu zao za mkononi wakiomba waokolewe.
Naibu wa Waziri Mkuu, Besir Atalay, amesema kuwa
tetemeko hilo liliporomosha shule moja, nyumba kadhaa za udongo pamoja na
hoteli
Chanzo: BBC
Malaysian states moot laws against gay Muslims
ReplyDelete"Homosexuality is against Islam. Men should look for women, not men. So that's why we don't want to follow this activity promoted by Western countries," Mohamad Ali Rustam, chief minister of southern Malacca state said.
The politician is a member of Prime Minister Najib Razak's ruling United Malays National Organisation party, which had announced plans in September to expand civil liberties and break with the country's authoritarian past.
"People are talking about human rights, but this is not right... It's our duty (to stop it) but we cannot take action because there is no law," Mohamad Ali Rustam said.
Homosexuality remains a taboo subject in Muslim-majority Malaysia, where sodomy is punishable by up to 20 years in prison, and the mooted new proposition comes shortly after police banned an annual gay rights festival.
State Islamic authorities were considering drafting a new law that could charge in Islamic courts those who engaged in "homosexual activities" and "free sex activities", the minister said, without elaborating further.
The sentence could range from counselling, to a fine or a jail term
Any law would have to be approved by the state assembly, but the minister said this could happen within months.
Eastern Pahang state has also reportedly proposed a similar law, where the state's top Islamic scholar Abdul Rahman Osman was quoted by The Star daily as saying such a law was necessary to stop "deviant sexual orientation."
Muslims, who make up 60 percent of Malaysia's 28 million people, are subject to both criminal laws and Islamic laws for civil matters.
Malaysia made headlines earlier this month when police said they would prevent an annual gay rights festival. The organisers decided to call off the event for the safety of their participants.
New York-based Human Rights Watch has urged Malaysia in a letter to the prime minister -- who is expected to call fresh polls within months -- to rescind the ban and protect all Malaysians from discrimination.
By: Khamis Msellem Khamis
Source: By Agence France-Presse
Updated: 11/12/2011
100% I support the banning of this Haram deed. What is being done under the umbrella of violation of human rights in which gays are people to be given rights is not accepted and cannot be done by even with an animal since I have never ever heard homosexuality in animals. How comes to we (human beings)?. This completely nasty deed and it should be abolished by any means.
ReplyDelete